Je, Imani Yako Ni Yako Kweli? Au Umeazima?
Impossible d'ajouter des articles
Désolé, nous ne sommes pas en mesure d'ajouter l'article car votre panier est déjà plein.
Veuillez réessayer plus tard
Veuillez réessayer plus tard
Échec de l’élimination de la liste d'envies.
Veuillez réessayer plus tard
Impossible de suivre le podcast
Impossible de ne plus suivre le podcast
-
Lu par :
-
De :
🎙️ Leo kwenye Neno la Leo
Leo tunatafakari Waamuzi 8:33–34. Baada ya kifo cha Gideoni, Waisraeli walimsahau Mungu na kurudia njia zao za zamani. Kupitia simulizi hili tunajifunza kwamba imani ya kweli haiwezi kutegemea mtu mwingine bali inapaswa kujengwa katika uhusiano binafsi na Mungu. Pia tunakumbushwa kwamba mara nyingi kuanguka huanza pale tunaposahau fadhili na matendo makuu ambayo Mungu ametutendea.
Karibu tusikilize, tutafakari na kuimarisha uhusiano wetu na Mungu. 🙏📖✨
adbl_web_anon_alc_button_suppression_t1
Aucun commentaire pour le moment