Couverture de Je, Imani Yako Ni Yako Kweli? Au Umeazima?

Je, Imani Yako Ni Yako Kweli? Au Umeazima?

Je, Imani Yako Ni Yako Kweli? Au Umeazima?

Écouter gratuitement

Voir les détails

🎙️ Leo kwenye Neno la Leo

Leo tunatafakari Waamuzi 8:33–34. Baada ya kifo cha Gideoni, Waisraeli walimsahau Mungu na kurudia njia zao za zamani. Kupitia simulizi hili tunajifunza kwamba imani ya kweli haiwezi kutegemea mtu mwingine bali inapaswa kujengwa katika uhusiano binafsi na Mungu. Pia tunakumbushwa kwamba mara nyingi kuanguka huanza pale tunaposahau fadhili na matendo makuu ambayo Mungu ametutendea.

Karibu tusikilize, tutafakari na kuimarisha uhusiano wetu na Mungu. 🙏📖✨

adbl_web_anon_alc_button_suppression_t1
Aucun commentaire pour le moment