Couverture de Kisa Changu

Kisa Changu

Kisa Changu

De : The Standard Group PLC
Écouter gratuitement

Watu mbalimbali wanasimulia wanayopitia ama kushuhudia kwa namna ya kugusa moyo, kushtua na kuliza machozi, vilevile kauli za matumaini.The Standard Group PLC Sciences sociales
Épisodes
  • Eliot Berry, Mwingereza anayependelea kuishi Kenya| Kisa Changu Podcast
    Nov 27 2022
    Eliot Berry, Raia wa Uingereza alikuja Kenya akiwa na umri wa miaka 19 alipotumwa na mamaye kutembea. Anasema alikuwa msumbufu na mara nyingi alikuwa akitoroka shuleni lakini alipofika Kenya alihisi kuwa nyumbani na maisha yake yakabadilika. Alianza rasmi kuishi nchini Kenya mwaka 2011 na amejifunza Kiswahili na pia Sheng kwa lengo la kutangamana na watu wa matabaka yote. Aidha, kwenye mitandao ya kijamii anakojulikana kama Reverend Dad, amekuwa akiwafurahisha watu kwa video za ucheshi kutumia Kiswahili. Katika Kicha Changu Podcast wiki hii tunaangazia maisha ya Reverend Dad, katika mahojaino haya na Faith Kutere.
    Afficher plus Afficher moins
    15 min
  • Familia zatafuta wapendwa wao, Mombasa | Kisa Changu Podcast
    Nov 6 2022
    Kwa zaidi ya mwaka mmoja sasa familia mbili kwenye eneo la Likoni katika Kaunti ya Mombasa zinaendelea kuhangaika kuwatafuta wapendwa wao ambao wanaaminika kuchukuliwa kwa nguvu na maafisa wa Idara ya Usalama. Tumesema na familia ya Bakari Mwanyota mwenye umri wa miaka 38 wa Mtaa wa Consolata na familia ya Tunu Said mwenye umri wa miaka 55. Familia hizo mbili zinasema wapendwa wao walichukuliwa kwa nguvu mwezi Februari na Julai, 2021 na hadi sasa hawajui waliko. Robert Menza amezungumza na familia za wawili hao katika makala haya ya Kisa Changu Podcast.
    Afficher plus Afficher moins
    20 min
  • Mlinzi wa Binafsi Aliyeponea Kifo | Kisa Changu Podcast
    Oct 29 2022
    Bernard Kibet amekuwa bawabu kwa zaidi ya miaka kumi. Japo kazi hii imemwezesha kuilisha familia yake na kuwasomesha watoto wake ni kazi ii hii ambayo imemsababishia machungu ambayo hatawahi kusahau kamwe. Kibet anasema wakati mmoja genge la majambazi lililokuwa kwenye eneo lake la kazi liliiba na kumpiga risasi kichwani bila kukusudia. Waliomwokoa walimchanganya na mili minane bila kukusudia tayari kupeleka katika hifadhi ya maiti lakini kwa bahati nzuri aliokolewa. Ilikuwa aje? Martin Ndiema amefanya mezungumzo na Kibet katika Podcast hii.
    Afficher plus Afficher moins
    12 min
adbl_web_anon_alc_button_suppression_t1
Aucun commentaire pour le moment