Kwa Nini Mungu Huacha Utaabike? Nini cha Kufanya?
Impossible d'ajouter des articles
Désolé, nous ne sommes pas en mesure d'ajouter l'article car votre panier est déjà plein.
Veuillez réessayer plus tard
Veuillez réessayer plus tard
Échec de l’élimination de la liste d'envies.
Veuillez réessayer plus tard
Impossible de suivre le podcast
Impossible de ne plus suivre le podcast
-
Lu par :
-
De :
🎙️ Leo kwenye Neno la Leo
Leo tunatafakari Waamuzi 10:6–8 na 10:15–16. Waisraeli walipoanza kumwacha Mungu na kufuata miungu mingine, walivuna matokeo ya maamuzi yao. Lakini walipomrudia kwa toba ya kweli na kuacha kabisa yale yaliyowatenga naye, Mungu aliwaonyesha rehema na huruma zake. Kupitia simulizi hii tunajifunza kwamba kuondoka kwa Mungu kuna gharama, lakini kurudi kwake kwa moyo wa kweli daima hufungua mlango wa neema na urejesho. Je, kuna eneo katika maisha yako ambalo Mungu anakualika urudi kwake leo?
Karibu tusikilize, tutafakari na kujifunza pamoja. 🙏📖✨
adbl_web_anon_alc_button_suppression_t1
Aucun commentaire pour le moment